Monday, March 7, 2016

Mbunge wa jimbo la Ilemela na Naibu waziri wa Ardhi nyumba na makazi ya maendeleo ya Ardhi Dkt.Angeline S.L.Mabula akiwapokea marafiki wa maendeleo kutoka nchini Korea





                   Mbunge wa jimbo la Ilemela  na Naibu waziri wa  Ardhi nyumba na makazi ya maendeleo ya Ardhi Dkt.Angeline S.L.Mabula akiwapokea marafiki wa maendeleo kutoka nchini Korea ambao wamejitolea kushirikiana nae katika shughuli za maendeleo ya jimbo la ilemela mwanza .Wageni hawa wanaongozwa na mshauri wa masuala ya uchumi  wa Raisi wa Korea “ushirikiano wa Ilemela na Korea hoyeeee” 
                Wageni hawa watawasili jimboni ilemela siku ya jumatano,tayari kwa mazungumzo ya mashirikiano na kutembelea wananchi katika kata na vijiji mbalimbali katika jimbo la Ilemela Mwanza.

0 comments:

Post a Comment